BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUHUSU USALAMA WA DIASPORA NCHINI HUMO KUFUATIA TETEMEKO LA ARDHI LA MKOA WA KUMAMOTO NCHINI JAPAN
Balozi wa Tanzania nchini Japani Mheshimiwa Anderson Mutatembwa amesema watanzania 23 wanaoishi katika Mkoa wa Kumamoto Kusini mwa Japani, uliokumbwa na tetemeko la ardhi hivi karibuni wako salama.Balozi Mutatembwa amesema hayo… Read More







