UBALOZI WAJADILIANA NA TAASISI YA ZIMAMOTO YA JAPAN, KUIMARISHA USHIRIKIANO WA HUDUMA ZA ZIMAMOTO KATI YA TANZANIA NA JAPAN
Tarehe 27 Februari 2026, Ubalozi ulitembelea Makao Makuu ya Taasisi ya Zimamoto ya Japan kwa lengo la kufanya mazungumzo kuishawishi Mamlaka hiyo kuendelea na mpango wake wa kutoa msaada wa magari ya zimamoto na uokozi kwa… Read More







